Mathayo 12:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye. Marko 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+ Luka 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakamjia, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya umati.+ Yohana 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya hayo, yeye na mama yake na ndugu zake+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi. Matendo 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa umoja wote hawa walikuwa wakidumu katika sala,+ pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu na pamoja na ndugu zake.+ Wagalatia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini sikuona mwingine yeyote wa wale mitume, isipokuwa Yakobo+ ndugu+ ya Bwana.
46 Alipokuwa bado akisema na umati, tazama! mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje wakitaka kusema naye.
3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+
12 Baada ya hayo, yeye na mama yake na ndugu zake+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.
14 Kwa umoja wote hawa walikuwa wakidumu katika sala,+ pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu na pamoja na ndugu zake.+