Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa maana yule ambaye Mungu amemtuma husema maneno ya Mungu,+ kwa maana hatoi roho kwa kipimio.+

  • Yohana 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo Yesu akasema: “Mara tu mkiisha kumwinua+ Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye,+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali kama vile Baba alivyonifundisha, ndivyo ninavyosema mambo haya.+

  • Yohana 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 kwa sababu sijasema kutokana na msukumo wangu mwenyewe, bali Baba mwenyewe aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+

  • Yohana 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, wewe huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba na Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia ninyi sisemi kwa kujitungia mwenyewe; bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.+

  • Ufunuo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Ufunuo+ kupitia Yesu Kristo, ambao Mungu alimpa,+ kuwaonyesha watumwa+ wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+ Naye alimtuma malaika+ wake na kupitia yeye akautoa kwa njia ya ishara+ kwa mtumwa wake Yohana,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki