28 Kwa hiyo Yesu akasema: “Mara tu mkiisha kumwinua+ Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye,+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali kama vile Baba alivyonifundisha, ndivyo ninavyosema mambo haya.+
10 Je, wewe huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba na Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia ninyi sisemi kwa kujitungia mwenyewe; bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.+
1Ufunuo+ kupitia Yesu Kristo, ambao Mungu alimpa,+ kuwaonyesha watumwa+ wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+ Naye alimtuma malaika+ wake na kupitia yeye akautoa kwa njia ya ishara+ kwa mtumwa wake Yohana,+