Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hili ndilo agano langu ambalo ninyi mtashika, kati yangu na ninyi, hata uzao wako baada yako.+ Kila mwanamume wa kwenu lazima atahiriwe.+

  • Mwanzo 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Abrahamu akamtahiri Isaka mwana wake akiwa na umri wa siku nane, kama Mungu alivyokuwa amemwamuru.+

  • Waroma 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye alipokea ishara,+ yaani, kutahiriwa, kuwa muhuri wa uadilifu kwa imani aliyokuwa nayo alipokuwa katika hali yake ya kutotahiriwa, ili yeye awe baba+ ya wale wote walio na imani+ wakiwa katika kutotahiriwa, kusudi wahesabiwe uadilifu;

  • Wafilipi 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 nilitahiriwa siku ya nane,+ kutoka katika ukoo wa familia ya Israeli, wa kabila la Benyamini,+ Mwebrania aliyezaliwa kwa Waebrania;+ kwa habari ya sheria, Farisayo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki