3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+
14 Yesu akajibu, akawaambia: “Hata ikiwa ninatoa ushahidi juu yangu mwenyewe, ushahidi+ wangu ni wa kweli, kwa sababu ninajua nilikotoka na ninakoenda.+ Lakini ninyi hamjui nilitoka wapi na ninaenda wapi.