Mathayo 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+ Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+ Yohana 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kama vile Baba anavyonijua mimi nami ninamjua Baba;+ nami ninaitoa nafsi yangu kwa ajili ya kondoo.+
27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+
15 kama vile Baba anavyonijua mimi nami ninamjua Baba;+ nami ninaitoa nafsi yangu kwa ajili ya kondoo.+