53 Nilipokuwa pamoja nanyi katika hekalu+ siku baada ya siku hamkunyoosha mikono yenu ili kunikamata.+ Lakini hii ndiyo saa+ yenu na ndiyo mamlaka+ ya giza.”+
20 Alisema maneno hayo katika chumba cha hazina+ alipokuwa akifundisha katika hekalu. Lakini hakuna aliyemkamata,+ kwa sababu saa+ yake ilikuwa haijafika bado.