12 Naye hakika atainua ishara kwa ajili ya mataifa na kukusanya watu wa Israeli waliotawanywa;+ na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka miisho minne ya dunia.+
1Petro, mtume+ wa Yesu Kristo, kwa wakaaji wa muda+ waliotawanyika huku na huku+ katika Ponto, Galatia, Kapadokia,+ Asia, na Bithinia, kwa wale waliochaguliwa+