Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tazama! Nitasimama mbele yako juu ya mwamba huko Horebu. Nawe utaupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, na watu watayanywa.”+ Kisha Musa akafanya hivyo machoni pa wanaume wazee wa Israeli.

  • Hesabu 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ichukue fimbo+ na kuliita kusanyiko pamoja, wewe na Haruni ndugu yako, nanyi mtauambia mwamba mbele ya macho yao ili kwa kweli utoe maji yake; nawe utawatolea maji kutoka katika mwamba na kuwapa maji kusanyiko na wanyama wao wa kubeba mizigo.”+

  • Methali 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kilindi cha maji.+ Kisima cha hekima ni kijito cha maji yanayobubujika.+

  • Yohana 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yule atakayekunywa maji ambayo nitampa hatapatwa na kiu hata kidogo,+ lakini maji ambayo nitampa yatakuwa chemchemi ya maji+ ndani yake, inayobubujika ili kutokeza uzima wa milele.”+

  • 1 Wakorintho 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na wote walikunywa maji+ yaleyale ya kiroho. Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba+ wa kiroho uliowafuata, na mwamba+ huo ulimaanisha Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki