Yohana 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yule anayekuja kutoka juu yuko juu ya wengine wote.+ Yule anayetoka duniani ni wa kutoka duniani na husema kuhusu mambo ya duniani.+ Yule anayekuja kutoka mbinguni yuko juu ya wengine wote.+ Yohana 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mimi nilitoka kwa Baba na nimekuja ulimwenguni. Na zaidi ya hayo, ninauacha ulimwengu nami ninaenda kwa Baba.”+ Wakolosai 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa+ pamoja na Kristo, endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu,+ ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+
31 Yule anayekuja kutoka juu yuko juu ya wengine wote.+ Yule anayetoka duniani ni wa kutoka duniani na husema kuhusu mambo ya duniani.+ Yule anayekuja kutoka mbinguni yuko juu ya wengine wote.+
28 Mimi nilitoka kwa Baba na nimekuja ulimwenguni. Na zaidi ya hayo, ninauacha ulimwengu nami ninaenda kwa Baba.”+
3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa+ pamoja na Kristo, endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu,+ ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+