Yohana 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Bado, wengi kati ya umati walimwamini;+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapofika, je, atafanya ishara+ zaidi ya zile ambazo mtu huyu amefanya?” Yohana 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na wengi wakamwamini huko.+ Yohana 11:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa hiyo wengi kati ya Wayahudi waliokuwa wamekuja kwa Maria na walioona lile alilofanya, wakamwamini;+
31 Bado, wengi kati ya umati walimwamini;+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapofika, je, atafanya ishara+ zaidi ya zile ambazo mtu huyu amefanya?”
45 Kwa hiyo wengi kati ya Wayahudi waliokuwa wamekuja kwa Maria na walioona lile alilofanya, wakamwamini;+