11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
25 Lakini Yohana alipokuwa akitimiza mwendo wake, akawa akisema ‘Mnadhani mimi ni nani? Mimi si yeye. Lakini, tazameni! mmoja anakuja baada yangu ambaye viatu vya miguu yake mimi sistahili kuvifungua.’+