Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+ Yohana 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yesu aliposikia hilo akasema: “Lengo la ugonjwa huu si kifo, bali ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu,+ ili Mwana wa Mungu atukuzwe kupitia huo.”
5 Vipofu wanaona tena,+ vilema+ wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa na viziwi+ wanasikia, wafu+ wanafufuliwa, maskini wanatangaziwa habari njema;+
4 Lakini Yesu aliposikia hilo akasema: “Lengo la ugonjwa huu si kifo, bali ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu,+ ili Mwana wa Mungu atukuzwe kupitia huo.”