Yohana 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo, wakati huo Mafarisayo pia wakazidi kumuuliza jinsi alivyopata kuona.+ Akawaambia: “Aliuweka udongo juu ya macho yangu, nami nikanawa na ninaona.”
15 Kwa hiyo, wakati huo Mafarisayo pia wakazidi kumuuliza jinsi alivyopata kuona.+ Akawaambia: “Aliuweka udongo juu ya macho yangu, nami nikanawa na ninaona.”