Yohana 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Hata hivyo, wengi hata kati ya watawala kwa kweli walimwamini,+ lakini kwa sababu ya Mafarisayo wakawa hawamkiri, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+ Yohana 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+
42 Hata hivyo, wengi hata kati ya watawala kwa kweli walimwamini,+ lakini kwa sababu ya Mafarisayo wakawa hawamkiri, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+
2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+