Isaya 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+ Malaki 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Tazama! ninamtuma mjumbe wangu,+ naye atafungua njia mbele zangu.+ Na kwa ghafula Bwana wa kweli+ atakuja kwenye hekalu Lake,+ ambaye ninyi mnamtafuta, na mjumbe+ wa agano+ mnayependezwa naye.+ Tazama! Atakuja hakika,” asema Yehova wa majeshi.+ Luka 1:76 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+ Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”
3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+
3 “Tazama! ninamtuma mjumbe wangu,+ naye atafungua njia mbele zangu.+ Na kwa ghafula Bwana wa kweli+ atakuja kwenye hekalu Lake,+ ambaye ninyi mnamtafuta, na mjumbe+ wa agano+ mnayependezwa naye.+ Tazama! Atakuja hakika,” asema Yehova wa majeshi.+
76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+
4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”