1 Samweli 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini. Mathayo 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.” Mathayo 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala+ fulani aliyekuwa amekaribia, alianza kumsujudia,+ akisema: “Kufikia sasa binti yangu lazima awe amekufa;+ lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+
23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini.
2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”
18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala+ fulani aliyekuwa amekaribia, alianza kumsujudia,+ akisema: “Kufikia sasa binti yangu lazima awe amekufa;+ lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+