Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+ Waroma 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nawe umesadikishwa kwamba wewe ni kiongozi wa walio vipofu,+ nuru kwa wale walio katika giza,+ Ufunuo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu unasema: “Mimi ni tajiri,+ nimejipatia utajiri na sihitaji kitu chochote hata kidogo,” lakini hujui kwamba wewe ni mwenye taabu na wa kusikitikiwa na maskini na kipofu+ na uchi,
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+
17 Kwa sababu unasema: “Mimi ni tajiri,+ nimejipatia utajiri na sihitaji kitu chochote hata kidogo,” lakini hujui kwamba wewe ni mwenye taabu na wa kusikitikiwa na maskini na kipofu+ na uchi,