Mathayo 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku huu, kwa maana imeandikwa, ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika huku na huku.’+ Yohana 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ndiye mchungaji+ mwema; mchungaji mwema huitoa nafsi yake kwa ajili ya kondoo.+
31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku huu, kwa maana imeandikwa, ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika huku na huku.’+