Ayubu 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Muuaji anasimama wakati wa mchana,Anamuua mwenye kuteseka na maskini;+Na wakati wa usiku yeye huwa mwizi wa kawaida.+ Mathayo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.
14 Muuaji anasimama wakati wa mchana,Anamuua mwenye kuteseka na maskini;+Na wakati wa usiku yeye huwa mwizi wa kawaida.+
15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.