Matendo 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sasa kifungu cha Andiko alichokuwa akisoma kwa sauti kubwa kilikuwa hiki: “Kama kondoo aliletwa machinjioni, na kama mwana-kondoo asiye na sauti mbele ya mwenye kumnyoa, ndivyo huyo asivyofungua kinywa chake.+ Ufunuo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 wakisema kwa sauti kubwa: “Mwana-Kondoo aliyechinjwa+ anastahili kupokea uwezo na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.”+
32 Sasa kifungu cha Andiko alichokuwa akisoma kwa sauti kubwa kilikuwa hiki: “Kama kondoo aliletwa machinjioni, na kama mwana-kondoo asiye na sauti mbele ya mwenye kumnyoa, ndivyo huyo asivyofungua kinywa chake.+
12 wakisema kwa sauti kubwa: “Mwana-Kondoo aliyechinjwa+ anastahili kupokea uwezo na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.”+