Yohana 6:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Lakini kuna wengine kati yenu ambao hawaamini.” Kwa maana tangu mwanzo Yesu alijua ni nani wale waliokuwa hawaamini na ni nani angemsaliti.+ Yohana 8:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yule anayetoka kwa Mungu husikiliza maneno ya Mungu.+ Ndiyo sababu hamsikilizi, kwa sababu hamtoki kwa Mungu.”+ 1 Yohana 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sisi tunatokana na Mungu.+ Yeye ambaye anamjua Mungu hutusikiliza;+ yeye ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyojua neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+
64 Lakini kuna wengine kati yenu ambao hawaamini.” Kwa maana tangu mwanzo Yesu alijua ni nani wale waliokuwa hawaamini na ni nani angemsaliti.+
47 Yule anayetoka kwa Mungu husikiliza maneno ya Mungu.+ Ndiyo sababu hamsikilizi, kwa sababu hamtoki kwa Mungu.”+
6 Sisi tunatokana na Mungu.+ Yeye ambaye anamjua Mungu hutusikiliza;+ yeye ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyojua neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+