Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 6:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Lakini kuna wengine kati yenu ambao hawaamini.” Kwa maana tangu mwanzo Yesu alijua ni nani wale waliokuwa hawaamini na ni nani angemsaliti.+

  • Yohana 8:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Yule anayetoka kwa Mungu husikiliza maneno ya Mungu.+ Ndiyo sababu hamsikilizi, kwa sababu hamtoki kwa Mungu.”+

  • 1 Yohana 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sisi tunatokana na Mungu.+ Yeye ambaye anamjua Mungu hutusikiliza;+ yeye ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyojua neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki