60 na kuulaza katika kaburi lake jipya,+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Na, baada ya kuviringisha jiwe kubwa kwenye mlango wa lile kaburi, akaondoka.+
46 Basi akanunua kitani bora na kumshusha, akamfunga katika kile kitani bora na kumlaza+ katika kaburi+ lililokuwa limechimbwa katika mwamba; naye akaviringisha jiwe hata kwenye mlango wa lile kaburi.+