Yohana 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yesu akajibu, akawaambia: “Hii ndiyo kazi ya Mungu, kwamba mmwamini+ yule ambaye Huyo alimtuma.”+ Yohana 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa sababu maneno uliyonipa nimewapa, nao wameyapokea+ na wamejua kwamba nilitoka nikiwa mwakilishi+ wako, nao wameamini kwamba ulinituma.+
8 kwa sababu maneno uliyonipa nimewapa, nao wameyapokea+ na wamejua kwamba nilitoka nikiwa mwakilishi+ wako, nao wameamini kwamba ulinituma.+