Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+

  • Yohana 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Bado, wengi kati ya umati walimwamini;+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapofika, je, atafanya ishara+ zaidi ya zile ambazo mtu huyu amefanya?”

  • Yohana 12:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini ijapokuwa alikuwa amefanya ishara nyingi sana mbele yao, hawakuwa wanamwamini,

  • Matendo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 wakisema: “Tutafanya nini na watu hawa?+ Kwa sababu, kwa kweli, ishara kuu imetukia kupitia kwao, ambayo ni wazi kwa wakaaji wote wa Yerusalemu;+ nasi hatuwezi kuikana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki