Mathayo 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,) Matendo 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakatokeza mashahidi wa uwongo,+ waliosema: “Mtu huyu haachi kusema mambo yasiyofaa juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya Sheria.+
15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,)
13 Nao wakatokeza mashahidi wa uwongo,+ waliosema: “Mtu huyu haachi kusema mambo yasiyofaa juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya Sheria.+