Yohana 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi kulikuwa na mtu fulani mgonjwa, Lazaro wa Bethania, wa kijiji cha Maria na cha Martha+ dada yake. Yohana 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na alipokuwa amekwisha kusema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, njoo huku nje!”+
11 Basi kulikuwa na mtu fulani mgonjwa, Lazaro wa Bethania, wa kijiji cha Maria na cha Martha+ dada yake.