Mathayo 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ikawa kwamba Yesu alipokuwa Bethania+ katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,+ Marko 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,+ akiwa ameketi kwenye mlo, mwanamke akaja na chupa ya alabasta iliyo na mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana. Akaivunja ili kuifungua na kuanza kuyamimina juu ya kichwa chake.+
3 Na alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,+ akiwa ameketi kwenye mlo, mwanamke akaja na chupa ya alabasta iliyo na mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana. Akaivunja ili kuifungua na kuanza kuyamimina juu ya kichwa chake.+