Marko 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sasa wakafika Bethsaida. Tazama, watu wakamletea mtu aliye kipofu, nao wakamsihi amguse.+ Yohana 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo, hao walimkaribia Filipo+ ambaye alikuwa wa kutoka Bethsaida ya Galilaya, nao wakaanza kumwomba, wakisema: “Bwana, tunataka kumwona Yesu.”+
21 Kwa hiyo, hao walimkaribia Filipo+ ambaye alikuwa wa kutoka Bethsaida ya Galilaya, nao wakaanza kumwomba, wakisema: “Bwana, tunataka kumwona Yesu.”+