Zaburi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naam, nafsi yangu imesumbuka sana;+Nawe, Ee Yehova—hata wakati gani?+ Mathayo 26:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana, kiasi cha kufa.+ Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+ Marko 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kisha akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana,+ kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha.”+
38 Ndipo akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana, kiasi cha kufa.+ Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+
34 Kisha akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana,+ kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha.”+