Luka 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akawaambia: “Nilianza kumwona Shetani akiwa tayari ameanguka+ kama umeme kutoka mbinguni. Ufunuo 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo yule joka+ mkubwa akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ yeye anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.
9 Kwa hiyo yule joka+ mkubwa akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ yeye anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.