Yohana 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kusudi neno la Yesu litimizwe alilosema ili kutoa ishara ni kifo cha namna gani ambacho angekufa.+ Matendo 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa mababu zetu alimfufua+ Yesu, ambaye ninyi mlimuua, kwa kumtundika mtini.+
32 Kusudi neno la Yesu litimizwe alilosema ili kutoa ishara ni kifo cha namna gani ambacho angekufa.+