Yohana 5:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Mtawezaje kuamini, wakati ninyi mnakubali utukufu+ kutoka kwa mtu na mwenzake na hamtafuti utukufu unaotoka kwa Mungu wa pekee?+ Waroma 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+
44 Mtawezaje kuamini, wakati ninyi mnakubali utukufu+ kutoka kwa mtu na mwenzake na hamtafuti utukufu unaotoka kwa Mungu wa pekee?+
29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+