Yohana 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yesu akamwambia: “Je, nimekuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu sana hivyo, na bado, Filipo, hujanijua? Yule ambaye ameniona mimi amemwona Baba+ pia. Kwa nini unasema, ‘Tuonyeshe Baba’?+
9 Yesu akamwambia: “Je, nimekuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu sana hivyo, na bado, Filipo, hujanijua? Yule ambaye ameniona mimi amemwona Baba+ pia. Kwa nini unasema, ‘Tuonyeshe Baba’?+