Yohana 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Mungu alimtuma Mwana wake ulimwenguni, si ili auhukumu+ ulimwengu, bali ili ulimwengu uokolewe+ kupitia kwake. Yohana 5:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Msifikiri kwamba nitawashtaki kwa Baba; kuna mmoja ambaye huwashtaki ninyi, Musa,+ ambaye mmemtumaini. Yohana 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ninyi mnahukumu kulingana na mwili;+ mimi sihukumu mtu yeyote hata kidogo.+
17 Kwa maana Mungu alimtuma Mwana wake ulimwenguni, si ili auhukumu+ ulimwengu, bali ili ulimwengu uokolewe+ kupitia kwake.
45 Msifikiri kwamba nitawashtaki kwa Baba; kuna mmoja ambaye huwashtaki ninyi, Musa,+ ambaye mmemtumaini.