Yohana 6:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu ambaye humtazama Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua katika siku ya mwisho.”+ Yohana 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kulingana na vile ambavyo umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili,+ ili, wote ambao umempa,+ yeye apate kuwapa uzima wa milele.+
40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mtu ambaye humtazama Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele,+ nami nitamfufua katika siku ya mwisho.”+
2 kulingana na vile ambavyo umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili,+ ili, wote ambao umempa,+ yeye apate kuwapa uzima wa milele.+