Mathayo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ninyi, msiitwe Rabi, kwa maana mwalimu+ wenu ni mmoja, lakini ninyi nyote ni ndugu. 1 Wakorintho 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye. Wafilipi 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na kila ulimi ukiri+ waziwazi kwamba Yesu Kristo ni Bwana+ kwa utukufu wa Mungu Baba.+
6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.