Yohana 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kuanzia dakika hii na kuendelea ninawaambia ninyi kabla ya hilo kutukia,+ ili litakapotukia mwamini kwamba mimi ndiye. Yohana 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, nimewaambia ninyi mambo haya ili, saa ya mambo haya itakapofika, mpate kukumbuka niliwaambia mambo haya.+ “Hata hivyo, mambo haya sikuwaambia hapo kwanza, kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
19 Kuanzia dakika hii na kuendelea ninawaambia ninyi kabla ya hilo kutukia,+ ili litakapotukia mwamini kwamba mimi ndiye.
4 Hata hivyo, nimewaambia ninyi mambo haya ili, saa ya mambo haya itakapofika, mpate kukumbuka niliwaambia mambo haya.+ “Hata hivyo, mambo haya sikuwaambia hapo kwanza, kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.