Yohana 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mpaka wakati huu wa sasa ninyi hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapokea, ili shangwe yenu ipate kujazwa.+ Yohana 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini sasa ninakuja kwako, nami ninasema mambo haya ulimwenguni ili wao wapate kuwa na shangwe yangu ndani yao wenyewe kwa ukamili.+ 1 Yohana 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kwa hiyo tunaandika mambo haya ili shangwe yetu ijae kwa ukamili.+
24 Mpaka wakati huu wa sasa ninyi hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapokea, ili shangwe yenu ipate kujazwa.+
13 Lakini sasa ninakuja kwako, nami ninasema mambo haya ulimwenguni ili wao wapate kuwa na shangwe yangu ndani yao wenyewe kwa ukamili.+