26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
26 Wakati atakapofika msaidizi ambaye nitawapelekea ninyi kutoka kwa Baba,+ roho ya ile kweli, ambayo inatoka kwa Baba, huyo atatoa ushahidi juu yangu;+
33 Kwa hiyo kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki ambacho ninyi mnakiona na kukisikia.