Mathayo 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+ Yohana 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baba humpenda Mwana+ naye ametia vitu vyote mkononi mwake.+ Yohana 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na vitu vyangu vyote ni vyako na vyako ni vyangu,+ nami nimetukuzwa kati yao.
27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+