Mathayo 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu aliuambia umati mambo yote hayo kwa mifano. Kwa kweli, hakuwa akisema nao bila mfano;+ Yohana 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu aliwaambia mfano huo; lakini hawakujua mambo aliyowaambia yalimaanisha nini.+