Yohana 6:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Haya ndiyo mapenzi yake aliyenituma, kwamba nisipoteze kitu chochote kati ya vyote ambavyo amenipa bali kwamba nikifufue+ katika siku ya mwisho. Yohana 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nami ninawapa hao uzima wa milele,+ nao hawataharibiwa kamwe,+ wala hakuna atakayewanyakua kutoka mkononi mwangu.+ 1 Yohana 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tunajua kwamba kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu+ hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na Yule+ ambaye amezaliwa kutokana na Mungu, na yule mwovu hamshiki imara.+
39 Haya ndiyo mapenzi yake aliyenituma, kwamba nisipoteze kitu chochote kati ya vyote ambavyo amenipa bali kwamba nikifufue+ katika siku ya mwisho.
28 Nami ninawapa hao uzima wa milele,+ nao hawataharibiwa kamwe,+ wala hakuna atakayewanyakua kutoka mkononi mwangu.+
18 Tunajua kwamba kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu+ hana mazoea ya kufanya dhambi, lakini yeye hulindwa na Yule+ ambaye amezaliwa kutokana na Mungu, na yule mwovu hamshiki imara.+