27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
55 na bado hamjamjua.+ Lakini mimi ninamjua.+ Na ikiwa ningesema simjui ningekuwa mwongo kama ninyi. Lakini mimi ninamjua, nami ninalishika neno lake.+