Mathayo 26:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Lakini, tazama! mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyoosha mkono wake akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu akalikata sikio lake.+ Marko 14:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Hata hivyo, mtu fulani kati ya hao waliosimama kando akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake.+ Luka 22:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mtu fulani kati yao hata alimpiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake la kuume.+
51 Lakini, tazama! mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyoosha mkono wake akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu akalikata sikio lake.+
47 Hata hivyo, mtu fulani kati ya hao waliosimama kando akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake.+