Mathayo 26:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wale wote wanaouchukua upanga wataangamia kwa upanga.+ Luka 22:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Lakini Yesu akajibu, akasema: “Basi, acheni, inatosha.” Naye akagusa sikio na kumponya.+ Yohana 18:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangepigana+ ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini, kama ilivyo, ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”
52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wale wote wanaouchukua upanga wataangamia kwa upanga.+
36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangepigana+ ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini, kama ilivyo, ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”