Isaya 57:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Mimi ninaumba matunda ya midomo.+ Kutakuwa na amani yenye kuendelea kwa yule aliye mbali na kwa yule aliye karibu,”+ Yehova amesema, “nami nitamponya.”+ Waefeso 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye alikuja na kuwatangazia ninyi habari njema ya amani,+ wale waliokuwa mbali sana, na amani kwa wale waliokuwa karibu,+
19 “Mimi ninaumba matunda ya midomo.+ Kutakuwa na amani yenye kuendelea kwa yule aliye mbali na kwa yule aliye karibu,”+ Yehova amesema, “nami nitamponya.”+
17 Naye alikuja na kuwatangazia ninyi habari njema ya amani,+ wale waliokuwa mbali sana, na amani kwa wale waliokuwa karibu,+