8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako ile nchi ya makao yako ya kigeni,+ naam, nchi yote ya Kanaani, ili kuimiliki hata wakati usio na kipimo; nami nitajionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwao.”+
8 Nami hakika nitawaingiza katika nchi ambayo niliuinua mkono wangu katika kiapo+ kwamba nitampa Abrahamu, Isaka na Yakobo; nami kwa kweli nitawapa ninyi iwe mali yenu.+ Mimi ni Yehova.’”+