4 Naye akaniambia, ‘Tazama, nakufanya uzae,+ nami nitakufanya kuwa wengi na nitakufanya uwe kutaniko la vikundi vya watu,+ nami nitaupa uzao wako baada yako nchi hii iwe miliki mpaka wakati usio na kipimo.’+
49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, mbele ya Yeriko, nawe uione nchi ya Kanaani, ninayowapa wana wa Israeli waimiliki.+
24 Basi wana wao+ wakaingia, wakaichukua nchi hiyo na kuimiliki,+ nawe ukatiisha+ mbele yao wakaaji wa nchi hiyo, Wakanaani,+ na kuwatia mikononi mwao, pamoja na wafalme+ wao na vikundi vya watu wa nchi,+ ili wawatendee kulingana na mapenzi yao.+