5 Baada ya muda, binti ya Farao akaja kuoga katika Mto Nile, nao wanawake wa kumhudumia walikuwa wakitembea kando ya Mto Nile. Naye akaiona ile safina katikati ya matete. Mara moja akamtuma kijakazi wake aende akailete.+
10 Naye mtoto akakua. Kisha akamleta kwa binti ya Farao, hivi kwamba akawa mwana kwake;+ naye akamwita jina lake Musa na kusema: “Ni kwa sababu nimemtoa majini.”+