Mathayo 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara tu umati ulipokuwa umetoka nje, akaingia na kuushika mkono wake,+ na huyo msichana akainuka.+ Luka 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na huyo mfu akaketi na kuanza kusema, naye akamkabidhi kwa mama yake.+ Yohana 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na alipokuwa amekwisha kusema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, njoo huku nje!”+
25 Mara tu umati ulipokuwa umetoka nje, akaingia na kuushika mkono wake,+ na huyo msichana akainuka.+